WANARIADHA WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA WAANZA MAZOEZI MAPEMA KUJIANDAA NA BONANZA
Wanariadha wa timu ya chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha wakiwa katika mazoezi yao ya kawaida kwenye viwanja vya jeshi la kutuliza ghasia. Picha na Elieth Mtaita
0 comments:
Post a Comment